Friday 11 December 2015

YACHUNGUZE MAANDIKO

  NIWZEJE KUMPOKEA NA KUTOKA KATIKA MAUTI

1.Kiri mambo matatu

 A.Mimi ni mwenye dhambi."Wote wametenda dhambi " RUM 3:23

B.Niko hatarini kufa."Mshahara wa  dhambi no mauti"Rum 6:23

C.Siwezi kujiokoa ."Pasipo Mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote"Yn 15:5

2.Baada ya toba hiyo amini   mambo matatu

A.Alikufa kwa ajili Yangu."Aionje mauti kwa ajili ya kila MTU" Ebr 2:9

B.Amenisamehe.
 C..Ameniokoa.

 YATAFAKARI MAMBO HAYA KWA MUDA 

#kwa sababu ya dhambi zangu nimehukumiwa kifo.

#siwezi kulipa fidia hiyo bila kupoteza uzima wa milele .

#ninadaiwa deni nisiloweza kulilipa.

#ni lazima niipokee zawadi hii.
















No comments:

Post a Comment