Tuesday 5 July 2016

UNAKARIBISHWA

JE , WEWE UNATAMBUA ?



Uimbaji ni moja ya kalama ambayo Mungu alimpatia mwanadamu ili amsifu .Mungu anasema mnitukuze kwa nyimbo , matendo mema na hiyo ndio ibada kamili kwangu.







wahubiri wengi wanafanya kazi pamoja na waimbaji katika ulimwengu
huu , wanadamu wote haijarishi unakalama au hauna lazima ufanye
kwa nafasi yako , kama kuhubiri hubiri kama kuimba imba ,kama
kufundisha fundisha ,kama kushuhudia shuhudia kwa kufanya hivyo
kristo anatukuzwa.

No comments:

Post a Comment